Ekari zaidi ya 700 za mashamba ya mazao ya kilimo yakiwemo mahindi, nyanya, maharage pamoja na mtama katika kijiji cha msongozi wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, yemaharibiwa vibaya na wanyama tembo baada ya makundi ya wanyama hao kuvamia na kuharibu mazao ya wakulima kwenye mashamba yao.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE
