Shirika la ndege la Uturuki la THY limefahamisha kuongeza muda uliokuwa umepangwa kwa kuanza safari zake.
Shirik ala ndege la Uturuki la Turkish Airlines limesema kuwa limeongeza muda uliokuwa umepangwa na uongozi wa shirika hilo kwa ajili ya kuanza kazi zake.
Safari zake za kimataifa zimepangwa kaunza upaya ifikapo Juni 4 mwaka 2020.
Mudda uliokuwa umepangwa kwa ajili ya kuanza safari, shirika hilo limesema kwamba safari rasmi zitaanza Juni 10 kinyume na ilivyokuwa imetangazwa kuwa ziataanza Jun 4.
Shirika hilo la ndege la Uturuki lilitangza kusitissha safari zake za kimataifa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona , safari zote za ndege zilikuwa zimesitishwa ispokuwa safari za ndege za mizigo.
Taarifa hiyo imeendelea kusema kuwa hata safari za ndege zilikuwa zimefungwa na sasa ikifahamishwa rasmi kwamba zitafunguliwa mwanzoni mwezi Juni.
Uamuzi uliochukuliwa na Uturuki ni sawa na maamuzi yaliochukuliwa na mataifa mengine Ulimwenguni.
Hakuna begi la aina yeyote ambalo litakuwa kiliingia na abiria, mikoba yote itakuwa ikiwekwa katika mizigo.
Shirik ala ndege la Uturuki la Turkish Airlines limesema kuwa limeongeza muda uliokuwa umepangwa na uongozi wa shirika hilo kwa ajili ya kuanza kazi zake.
Safari zake za kimataifa zimepangwa kaunza upaya ifikapo Juni 4 mwaka 2020.
Mudda uliokuwa umepangwa kwa ajili ya kuanza safari, shirika hilo limesema kwamba safari rasmi zitaanza Juni 10 kinyume na ilivyokuwa imetangazwa kuwa ziataanza Jun 4.
Shirika hilo la ndege la Uturuki lilitangza kusitissha safari zake za kimataifa kutokana na maambukizi ya virusi vya corona , safari zote za ndege zilikuwa zimesitishwa ispokuwa safari za ndege za mizigo.
Taarifa hiyo imeendelea kusema kuwa hata safari za ndege zilikuwa zimefungwa na sasa ikifahamishwa rasmi kwamba zitafunguliwa mwanzoni mwezi Juni.
Uamuzi uliochukuliwa na Uturuki ni sawa na maamuzi yaliochukuliwa na mataifa mengine Ulimwenguni.
Hakuna begi la aina yeyote ambalo litakuwa kiliingia na abiria, mikoba yote itakuwa ikiwekwa katika mizigo.
