Vilabu vya Ligi Kuu ya England kuanza mazoezi Mei 19, 2020

Vilabu vya Ligi Kuu ya England vimekubaliana kuanza mazoezi kwa vikundi vidogovidogo bila kugusana kuanzia kesho Mei 19, 2020 kuelekea kurejea kwa ligi hiyo ambayo imesimama kwa zaidi ya miezi miwili sasa  kutokana na janga la corona.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items