VIDEO: Dereva Tax 'Uber' auawa Dar, washukiwa wakamatwa


Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva tax (UBER) aliyefahamika kwa jina la Joseph Tillya Mpokala,(51),Mkazi wa Mbezi kwa Msuguli

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE