VIDEO: Polisi waua watuhumiwa wawili wa ujambazi Dar


Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha mbili aina ya bastola na kuwaua majambazi wawili katika matukio mawili tofauti.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE 
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items