VIDEO: WHO yashauriwa kumpa tuzo Rais Magufuli


Taasisi za vyuo vikuu vya Afya nchini Tanzania, pamoja na Shirika la Afya Duniani (WHO), vimeshauriwa kumpatia tuzo maalumu ya heshima, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kwa ajili ya kutambua mchango wake katika kupambana na janga la vya Corona.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE