Makamu Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA, Tundu Lissu amewasili nchini leo akitokea nchini Ubelgiji alikokwenda kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Wanachama wa CHADEMA wamejitokeza kwa wingi kumpokea uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam.