Joel Luagwa mvalisha pete ya uchumba mpenzi wake


Mwimbaji wa nyimbo za injili Bongo, Joel Luagwa amemchumbia mchumba wake anayetarajia kufunga naye ndoa hivi karibuni, tukio hilo limefanyika jana July 26, 2020 ambapo wameshiriki watu wake wa karibu wakiwemo MC Pilipi na MC Luvanda