Mbeya City yapoteza pointi zote tatu Chamazi

Game imekwisha Chamazi, Mbeya City wanatoka wakiwa wanyonge kwa kupoteza pointi tatu.

Goili la Azam FC lilifungwa na Frank Domayo dakika ya 70.

FT: Azam FC 1-0 Mbeya City.
Mpya zaidi Nzee zaidi