Klabu ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya kombe la shirikisho la ASFC baada ya kuitandika Azam FC bao 2-0 kwenye dimba la Taifa jijini Dar es Salaam.
Magfoli ya Simba yaliwekwa kambani na John Bcco dakika ya 40 na jingine Chama dakika ya 57.
FT: Simba SC 2-0 Azam FC.