Viongozi, Wananchi mbalimbali wajitokeza kuaga mwili wa mzee Mkapa


 Viongozi mbalimbali na wananchi wakipita kwa utaratibu maalum kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa hapa kijijini kwao Lupaso,Masasi mkoani Mtwara.



Mpya zaidi Nzee zaidi