Viongozi, Wananchi mbalimbali wajitokeza kuaga mwili wa mzee Mkapa
byMuungwana Blog 5-
0
Viongozi mbalimbali na wananchi wakipita kwa utaratibu maalum kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa hapa kijijini kwao Lupaso,Masasi mkoani Mtwara.