Dirisha la usajili lafunguliwa rasmi leo

Dirisha la usajili kwa vilabu vya Ligi Kuu Tanzania Bara , Ligi Daraja la Kwanza , Ligi Daraja la Pili na Ligi ya Wanawake limefunguliwa rasmi leo Agosti Mosi na litafungwa Agosti 31, 2020.