Simba Queens kukabidhiwa kikombe cha ubingwa agosti 12 Mwanza
byMuungwana Blog 3-
0
Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa klabu ya simba Queens baada ya kupata ubingwa wa ligi kuu ya wanawake watakabidhiwa kikombe cha ubinwa agosti 12 jijini Mwanza.