Bobby Brown apata pigo, mroto wake wa kiume afariki dunia


 Mtoto wa kiume wa nguli wa muziki nchini Marekani, Bobby Brown aitwae Bobby Brown jr (28) amefariki dunia.

Kwa mujibu wa TMZ, Bobby Brown Jr, alifikwa na umauti siku ya Jumatano akiwa nyumba kwake Los Angeles. Hata hivyo upelelezi unafanyika ili kujulikana chanzo cha kifo cha kijana huyo.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items