Marioo aonyesha jeuri ya pesa, aweka meno ya dhahabu


 Staa wa Muziki wa BongoFleva Marioo ambae kwasasa yupo Nchini South Africa kwa Shughuli zake za kimuziki, ameshare Video ikimuonesha akiweka Meno ya dhahabu maarufu kama Grillz .

Mastaa wengi wakubwa duniani hupenda kuweka Grillz za Madini aina tofauti, ikiwa ni njia ya kuongeza Utanashati na kutengeneza Muonekano wa Kistaa .

Kupitia Website ya Sehemu Staa huyo alipweka Grillz zake za Dhahabu iitwayo Fusigrillzlab.com unaeleza kuwa Gharama ya Meno hayo ni Rand 5000 sawa na Tsh. 749, 204 /=

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items