Mabegi yaliyotelekezwa Kampala yatolewa baada ya kuibua hofu ya mabomu

Polisi nchini Uganda wameondoa mabegi yametelekezwa mtaani katika mji mkuu wa Kampala baada ya kusababisha hofu ya mabomu mjini humo. Tovuti ya habari ya eneo hilo imechapisha picha za operesheni ya polisi.


Wakazi wamekuwa katika hali ya tahadhari tangu mashambulio ya wiki iliyopita ya kujitoa muhanga yaliyoua watu wanne.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items