TUPO DAR ES SALAAM: MBEZI KIBAMBA
USAJILI: IAE/OS/0742 (Full Registration)
TUNATOA ELIMU YA SEKONDARI NA UJUZI KATIKA KOZI MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO:-
1. Ualimu NA MALEZI WATOTO WADOGO (EARLY CHILDHOOD DEVELOPMENT AND EDUCATION)-Mwaka 1
2. ICT (Computer maintance, Networking, Website Design, Software engeenearing na Graphic Design)
3. BOA- BUSINESS OPERATING ASSISTANT(MAFUNZO YA UENDESHAJI WA BIASHARA)
4. UUGUZI-Kwa wale wanaotaka kusoma kozi za afya wakati wanasafisha vyeti vyao wataanza na kozi ya FOUNDATION ili kupata ujuzi na uelewa na baadae kuunganishwa katika vyuo vya afya hapa nchini ili kujiendeleza hadi ngazi ya Diploma!
SIFA: Muombajia awe amemaliza amemaliza kidato Cha nne na ufaulu wa angalau D moja tu na kuendelea.
Kwa uuguzi awe amefaulu somo la Biologia kwa agalau D moja tu na kuendelea!
KOZI FUPI( Miezi 3 tu )
1. COMPUTER COURSE
2. ENGLISH COURSE
3. USHONAJI
2. UDEREVA WS MAGARI
SIFA: Muombaji awe amemaliza angalau Darasa la saba na kuendelea..
ELIMU YA SEKONDARI
1. Qualifying Test (Secodary miaka 2 )
2. Ressitters- Wanaorudia mtihani/NECTA ya Form FOUR/SIX
PROGRAM MAALUM
1. Tunapokea WANAFUNZI wa KIDATO CHA KWANZA ambao hawakuchaguliwa kwenda sekondari ili kujiunga na FORM ONE Hadi fomu FOUR chini ya Taasisi ya elimu ya Tanzania!
2. Wanaotaka kujiunga kidato Cha TANO NA SITA kwa mwaka mmoja tu.
Ada zetu Ni nafuu sana na unalipa kidogo kidogo...🙏
TUPIGIE: 0688 902 401 / 0658 300 353







