Rapper mkongwe nchini Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya amemjia juu video vixen wa Bongo, Amber Rutty ambaye hivi karibuni amekumbwa na kashfa kubwa ya kusambaa kwa video yake ya ngono. Pia Dudubaya amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kwa kutimiza wajibu wake wa kumtaka mwanadada huyo ajisalimishe kituo cha polisi.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE