F VIDEO: Katibu Mkuu CCM acharuka bendera za CUF kuchomwa moto | Muungwana BLOG

VIDEO: Katibu Mkuu CCM acharuka bendera za CUF kuchomwa moto

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Dk. Bashiru Alli amesema kuna baadhi ya wanachama wa vyama fulani wameanza kuchoma bendera za vyama kitu ambacho hakikubaliki kisheria na ni kosa la jinai hivyo CCM itaiagiza Serikali kusimamia jambo hilo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUBSCRIBE