Mbunge wa Jimbo la Vwawa ambaye ni Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga ametoa salamu za pole kwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt Ayub Rioba, familia nzima ya televisheni hiyo na wafiwa wote kwa misiba ya wanahabari wake.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE