Kikosi cha Simba kuondoka nchini leo kwenda Nigeria

 


Kikosi cha timu ya soka ya simba kitaondoka nchini leo novemba 24 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro kwenda Nigeria kwa kupitia Ethiopia kusafiri kikiwa na orodha ya wachezaji 24.

 Safari itaanza saa 11:45 jioni na kufika usiku jijini Addis Ababa, Ethiopia ambapo kikosi kitapumzika mjini hapo na kuendelea na safari ya kwenda Abuja, Nigeria siku ya jumatano asubuhi. 

Hiki hapa kikosi kamili kitakachosafiri;


Post a Comment

0 Comments