Kiongozi huyo wa kidini amesema kwamba alikuwa amutumwa na Mungu kuwaonya raia wa igeria dhidi ya kumchagua rais Buhari mwaka wa 2015 .
Alidai kwamba Buhari sio kiongozi ambaye anayajali maslahi ya raia wa Nigeria . Askofu huyo aliyasema hayo mwishonimwa wiki akihubiri katika katikaJimbo la Ogun kusini mwaNigeria .
Alisema kwambawanigeria walipuuza onyo yake kuhusu kumchagua Buhari .
‘Wakati mwingine nabii anapozungumza ,watu wanafaa kumsikiliza ‘ alisemaOyeepo
Alisema wakati alipotoa utabiri wake kuhusu serikali ya Buhari watu wengi walimshambulia lakini sasa yote yanayofanyka nchini humo yametimizautabiri wake .
Oyedepoamesema aliona majanga mengi chini ya utawala wa Buhari kabla hata rais huyo hajachaguliwa kuingia madarakani
0 Comments