F RC Tanga akabidhi mradi wa Bilioni 31.9 Ujenzi wa miundombinu ya barabara na Masoko | Muungwana BLOG

RC Tanga akabidhi mradi wa Bilioni 31.9 Ujenzi wa miundombinu ya barabara na Masoko


REBECA DUWE TANGA

 Mkuu wa mkoa  waTanga Balozi Dkt Batlida Buruhani amekabidhi mradi Bilioni 31.9 wa  Ujenzi wa  miundo mbinu ya barabara na Masoko kuwataka wakandarasi wote wanaosimamia ujunzi mradi huo kutenkeleza nradi wa kwa wakat0i ili kuimarisha maendeleo yaJiji.

Akizungumza Sokoni hapo alisema kuwa  mradi huo mkataba wake ulisainiwa tangu mwezi wa sita mwaka huuu  ambao ni mradi uliojikita katika uboreshaji wa miundo mbinu ya Bara na Masoko, ikiwemo barabara kil.4.3 mifereji mikubuwa soko la samaki  la Deepsee jijini Tanga.

Aliongeza kusema kuwa  lengo Serikali ni kuwaboreshea wananchi kazi ya uzalishaijj kupitia masoko na kuongeza mapato ya jiji la Tanga hivyo timu ya usimamizi wa mradi wasimamie miradi utekelezaji kwa wakati na kwa finish mkubwa.

kwa upande wake  Mukurugenzi  wa jiji la Tang Juma Hamsini alisema kuwa kuna miradi mikubwa ikiwemo Masoko ambayo yana lengo la kuimarisha maendeleo ya  Jiji la Tanga bilioni 38 soko la mgandini ambayo inatarajiwa baada ya mwezi kumi na moja kuwez kukabidhi kwa kwa mkandasi .

Aidha aliwatoa hofu   wafanyabiashara sokoni hapo watu kwani ni lazima watambua biashara zao na waweze kujua idadi yao ili kuweza uendelea kufanya biashara kwani kwa upande wa   uropion union wametoa Uro milioni Tano   kwaajili ya kuwatengneza kwa watu waweze kuhamia huko.
Alisema kuwa wao kama Halmashauri ya jiji la Tanga  watazingatia wafanyabiashara hao hafadhaiki sehema watakayoanza kuhamia baada ya kupisha ujenzi itahakikishwa inawekwa miundombinu  ya vyoo kwa usalama afya zao.



 

Post a Comment

0 Comments