KAULI YA MHE.JERRY SILAA BAADA YA KUPATA MASTAZ YAKE YA ULAYA LEO
byMuungwana Blog-
0
Namshukuru Mungu kwa afya na baraka tele alizonijalia, leo nimehitimu Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara ya Maastritch Uholanzi wakishirikiana na Esami Arusha...
Niimani yangu itakuwa na faida kwa jamii nzima.