Mbowe asema atadai fidia kwa kitendo cha kuchafuliwa jina

Sakata la kutajwa kwa Mbowe Katika List ya Madawa ya kulevya iliyotangazwa na Paul Makonda lazidi kuchukua Sura Mpya baada ya Mbowe Kufunguka Haya:

"Nina mipango wa kudai fidia kwa kuchafuliwa jina, hilo liko wazi nilisema toka siku ya kwanza kwa hiyo mpango huo lazima tutautekeleza" Mhe. Freema Mbowe.










VIDEO: MCHINA AIMBISHWA SINGELI NA MADADA WA USWAZI

Mpya zaidi Nzee zaidi