Uongozi wa label ya muziki ya Rockstar4000, huwa na mikakati tofauti wakati wa kuachia nyimbo za wasanii wake.
Seven Mosha, msimamizi wa Rockstar4000, ameiambia Bongo5 kuwa, wakati wasanii wa label hiyo wakiwa wanaachia nyimbo mpya, hukaa pembeni ya mitandao ya kijamii kwa muda.
“Wakati mwingine, all of my artists, wakati we are ready to launch labda an album or single, we are off social media,” amesema Seven.
“Mpaka itoke three days later ndio tunaanza kuinteract, because social media can sway your decisions,” aliongeza.
Rockstar4000 inawasimamia Alikiba, Barakah The Prince na Lady Jaydee.
March 31 mwaka huu, Jaydee ataachia album yake ya saba, Woman.
Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo ...
Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..
Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo..
Kisha Jisajili kwa Kuweka Jina na Email Yako... USIWE NA WASIWASI HUDUMA HII NI SALAMA KABISA..

