Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli atengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini.
 |
| Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa ambaye uteuzi wake umetenguliwa na Rais Dkt Magufuli kuanzia leo. |