Nikki Mbishi ataka BASATA waifungulie ngoma yake ya 'I 'm Sory JK',
byMuungwana Blog 5-
0
Rapa @NikkiZohan ailalamikia BASATA kwa kuufungia wimbo wake 'I 'm Sory JK', huku wakiruhusu 'Wapo' ya @naythetrueboy hivyo ameitaka BASTA kuufungulia. ameyasema hayo wakati akipiga stori na East Africa Radio