Shabiki wa West Ham Aliyetaka Kuwavamia Wachezaji wa Chelsea

Polisi wakimdhibiti shabiki wa West Ham (kushoto) aliyetaka kuwavamia Diego Costa na wachezaji wenzake wa Chelsea wakati wanashangilia bao la pili katika ushindi wa 2-1 ugenini Uwanja wa London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England.
Mpya zaidi Nzee zaidi