Muungano huo unapinga kuteuliwa kwa waziri mkuu ambae siyo chaguo lao jambo wanalosema linakiuka makubalino yalifanywa Dec baina ya serikali na upinzani .
Uteuzi huo wa waziri mkuu umeugawanya Zaidi upinzani huku upande mmoja sasa ukidai Rais kabila ndiye kizuizi cha juhudi za kutafuta amani ya kudumu nchini humo , Hii ni taarifa ya Mbelechi Msoshi
