Barcelona bado inamshikilia Neymar

Barcelona wameendelea kushikilia uhamisho wa Neymar wakitaka kulipwa chao.

Tayari PSG imeanza Ligi Kuu ya Ufaransa maarufu kama League 1 lakini Neymar hakucheza.

Barcelona imesisitiza, itaachia uhamisho baada ya kuwa imelipwa chake.


Neymar amejiunga na PSG kwa kitita cha pauni milioni 198 na kuweka rekodi mpya ya usajili duniani.
Mpya zaidi Nzee zaidi