Mexico: Idadi ya watu waliofariki kufuatia tetemeko la ardhi yaongezeka

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 8 katika kipimo cha Richter limekumba Mexico na kusababisha  vifo vya watu zaidi ya 60

Tetemeko hilo limetokea Ijumaa Kusini mwa Mexico.

Msimamizi wa  kitengo kunahusika na kulinda raia Luis Felipe Puente amesema kuwa watu 45 walifariki katika jimbo la Oaxaca.

Hapo awali serikali ilikuwa imetanga vifo vya watu 33.

Ikumbukwe kuwa mnamo mwaka 1985 watu  zaidi ya 10 000 walifariki katika  tetemeko la ardhi.
Mpya zaidi Nzee zaidi