Nyumbani FULL VIDEO: Miili ya wanajeshi 14 ilivyoagwa Dar byMuungwana Blog 5 -12/14/2017 09:01:00 PM 0 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo ameongoza waombelezaji kuaga miili ya Wanajeshi 14 wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania ambao waliuawa nchini DR Congo walipokuwa wakilinda amani kwa kushirikiana na majeshi ya Umoja wa Mataifa. Facebook Twitter