Waziri Mwakyembe ameeleza kuwa FIFA ilikata kutoa pesa kwa TFF muda mrefu lakini baada ya shikisho hilo kujisafisha sasa watakuwa wanapata pesa kama kawaida lakini good news ni kuwa FIFA wameongeza pesa kwa nchini wanachama kama Tanzania sasa itakuwa inapewa dola milioni 1.25 kutoka kupewa dola 250000 kwa mwaka.
Waziri Mwakyembe ameeleza kuwa FIFA ilikata kutoa pesa kwa TFF muda mrefu lakini baada ya shikisho hilo kujisafisha sasa watakuwa wanapata pesa kama kawaida lakini good news ni kuwa FIFA wameongeza pesa kwa nchini wanachama kama Tanzania sasa itakuwa inapewa dola milioni 1.25 kutoka kupewa dola 250000 kwa mwaka.
