Sholo Mwamba amesema kuwa Husna Sanjeti hana ujauzito wa Dulah Makabila na kuwa Makabila hakuwa na uwezo wa kumpa ujauzito Husna Sajenti ndiyo maana mpaka sasa yeye amemkuta akiwa hana ujauzito wowote ila ameomba yeye apewe mwezi mmoja tu kisha watu wataona matokeo.
Sholo Mwamba amesema kuwa Husna Sanjeti hana ujauzito wa Dulah Makabila na kuwa Makabila hakuwa na uwezo wa kumpa ujauzito Husna Sajenti ndiyo maana mpaka sasa yeye amemkuta akiwa hana ujauzito wowote ila ameomba yeye apewe mwezi mmoja tu kisha watu wataona matokeo.
