Waziri wa mambo ya nje wa Urusi amethibitisha vifo vya wanajeshi watano katiak shambulizi la jeshi la ushirika dhidi ya ugaidi Syria linaloongozwa na Marekani.
Shambulizi hilo lililopelekea wanajeshi hoa kufariki lilitekelezwa wiki iliopita.
Taarifa hiyo ilitolewa na msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Urusi
Maria Zakharova alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Shambulizi hilo lililenga eneo Deir Ez’zor Kaskazini mwa Syria.
Shambulizi hilo lililopelekea wanajeshi hoa kufariki lilitekelezwa wiki iliopita.
Taarifa hiyo ilitolewa na msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Urusi
Maria Zakharova alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari.
Shambulizi hilo lililenga eneo Deir Ez’zor Kaskazini mwa Syria.
