CCM wapitisha majina ya Wagombea kwenye Majimbo manne

Chama cha Mapinduzi kupitia Kamati kuu maalum ya Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) kimepitisha majina ya wagombea watakaosimama katika uchaguzi mdogo wa Ubunge kwa tiketi ya CCM.
Mpya zaidi Nzee zaidi