Serikali yatoa siku saba kuhuisha leseni za magazeti, orodha ya waliokiuka yawekwa bayana
byMuungwana Blog 5-
0
Serikali kupitia Idara ya Habari-Maelezo imetoa siku saba kuanzia leo tarehe 19 Novemba,2018 kwa wamiliki wa machapisho/majarida ambayo muda wa leseni zao umekwisha kuhuisha leseni zao.