Uongozi wa Simba watoa kauli hii kuhusu Yanga


Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Simba, Swedi Mkwabi, amefunguka na kusema kuwa hakuna simba bora bila yanga bora na kukiri kuwa kwasasa yanga wanatetereka kutokana na masuala ya uongozi wa klabu.

Mkwabi ameyasema hayo  katika hafla ya kupongezwa kwake  kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa klabu ya soka ya Simba SC iliyo andaliwa na tawi la Simba Veteran Mango Gadeni ambapo alikuwa mgeni rasmi.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items