Kikosi cha Simba SC kitakachoivaa Al Ahly


Tayari wekundu wa msimbazi, Simba SC wameanika kikosi chao kitakachoivaa Al Ahly kutoka nchini Misri leo katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaocheza majira ya saa 10 jioni uwanja wa Taifa Dar es Salaam.