Hazard apewa jezi namba 7 Real Madrid

Eden Hazard atavaa jezi No 7 ndani ya Real Madrid, akichukua jezi iliyowahi kuvaliwa na Cristiano Ronaldo.

Klabu hiyo imeweka wazi kwamba mchezaji huyo atavaa jezi hiyo kwenye tovuti ya Real Madrid.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items