Tahadhari kubwa imetolewa kwa sababu ya Kimbunga cha Lekima (Lycima), ambacho kinatarajiwa kutokea mashariki mwa China kesho.
Kituo cha kitaifa cha hali ya hewa, kimetangaza kuwa mkoa wa mashariki wa Ciciang una hatari kubwa ya kupigwa na Kimbunga cha Lekima.
Kwa mujibu wa habari hiki ni kimbunga cha 9 cha mwaka huu, ambacho kilikuwa kimefikia kasi ya kilomita 209.
Watalii 200 wamehamishwa kutoka Kisiwa cha Beyci, moja ya maeneo ya watalii ya Mkoa wa Ciciang, na huduma za feri zimesimamishwa.
Kituo cha kitaifa cha hali ya hewa, kimetangaza kuwa mkoa wa mashariki wa Ciciang una hatari kubwa ya kupigwa na Kimbunga cha Lekima.
Kwa mujibu wa habari hiki ni kimbunga cha 9 cha mwaka huu, ambacho kilikuwa kimefikia kasi ya kilomita 209.
Watalii 200 wamehamishwa kutoka Kisiwa cha Beyci, moja ya maeneo ya watalii ya Mkoa wa Ciciang, na huduma za feri zimesimamishwa.
