VIDEO: Mbaroni kwa kumuua mkewe kwa mkuki, RPC aeleza A-Z


Jeshi la Polisi mkoa ni Tabora limemsikilia  Omari Mkuyu Mkazi wa Kijiji cha Iskizya wilaya ya Uyui mkoani Tabora kwa tuhuma za kuumua mkewe  kwa kumchoma mkuki mgongoni  nakupelekea kifo chake  kutokana na wivu wa kimapenzi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE

Mpya zaidi Nzee zaidi