PICHA: Kikwete afika nyumbani kwa Marehemu Mzee Gabriel Ndugulile kutoa pole

 Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete amefika nyumbani kwa Marehemu Mzee Gabriel Ndugulile (Baba Mzazi wa aliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile, Kigamboni DSM na  kutoa pole kwa Familia ya Ndugulile kufuatia msiba huo.



Mpya zaidi Nzee zaidi