Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6,6 katika kipimo cha Richter latokea nchini China.
Tetemeko la arhdi lenye ukubwa wa 6,6 katika kipimo cha Richter latokea katika jimbo la Nagqu nchini China.
Tetemeko hilo limesikaka katika eneo kubwa la Tibet kitovu chake nchini China.
Taarifa zilizotolewa na kitengo kinachohusika na utafiti wa ardhi na tetemeko la ardhi zimefahamisha kuwa hakuna tishio la tsunami.
Hakuna taarifa ziadi ambazo zimetolewa kuhusu hasara ambazo zimesababishwa na tetemeko hilo.
Tetemeko la arhdi lenye ukubwa wa 6,6 katika kipimo cha Richter latokea katika jimbo la Nagqu nchini China.
Tetemeko hilo limesikaka katika eneo kubwa la Tibet kitovu chake nchini China.
Taarifa zilizotolewa na kitengo kinachohusika na utafiti wa ardhi na tetemeko la ardhi zimefahamisha kuwa hakuna tishio la tsunami.
Hakuna taarifa ziadi ambazo zimetolewa kuhusu hasara ambazo zimesababishwa na tetemeko hilo.
