Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

Naibu Waziri, Dk. Milton Makongoro Mahanga, atazungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Segerea. Amesema ana neno zito anataka kuwaambia Watanzania. Ukizingatia kuwa Makongoro ni mmoja wa wafuasi watiifu wa Mheshimiwa Lowassa, na kwa mazingira ya sasa ya kisiasa nchini, unaona kabisa Makongoro anamfuata Lowassa. Subirini. Kama kawaida hatuleti uzushi hapa.
Mpya zaidi Nzee zaidi