“Mimi ninawafahamu wanangu kwamba mnaweza, hiyo 500,000 niliyowapa ni sadaka ili mtuombee kwa Mungu viongozi wenu na watendaji wote.” – Dkt. Rehema Nchimbi
“Sasa ninatoa sadaka ili mtuombee kwa Mungu atusamehe ili uwepo wake uwepo ili tuweze kuvuka vizuri.”
