Baadhi ya majina mapya ya Makatibu wa CCM wilayani yaliyotangazwa leo


Makatibu wa CCM Mikoa walioteuliwa leo, 20 ni wapya kati ya 31. Kwa upande wa Makatibu Wakuu wa CCM Wilaya, 76 ni wapya.
  1. Ramadhan Dalo- Arusha
  2. Solomoni Itunda- Karatu
  3. Simba Gadafi- Longido
  4. Amos SHimba- Ngorongoro
  5. Hanafi Msabaha- Kinondoni
  6. Robert Kelenge- Kigamboni
  7. Martin Mwakitabu- Chamwino
  8. Asia Mohameh Chemba
  9. Nuru Ngeleja- Chato
  10. Clemence Mponzi- Kilolo
  11. Mohamed Mfaume Bukoba Mjini
  12. Mwajuma Boha- Misenyi
  13. Miriam Kaaya- Moshi Vijijini
  14. Agness Msuya- Siha
  15. Mayasa Ayoub- Kilwa
  16. Rafael Maumba- Liwale 
  17. Othaman Dunga- Hanang
  18. Rehema Ndele- Mbozi
  19. Shaibu Mtawa- Morogoro Vijijini
  20. Alfred Mwambeleko- Masasa
  21. Said Mkoa- Sengerema
Mpya zaidi Nzee zaidi