Nyumbani Harry Kane yupo fiti kuivaa Real Madrid kesho byMuungwana Blog 2 -10/31/2017 07:00:00 PM 0 Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akiwa mazoezini na wenzake leo baada ya kupona maumivu ya nyama za paja wakijiandaa na mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya kesho dhidi ya Real Madrid Uwanja wa Wembley, London. Facebook Twitter