Nchini Marekani, afisa wa polisi katika Chuo Kikuu cha Texas Tech alipoteza maisha yake.
Kwa mujibu wa taarifa za chuo hicho, baada ya polisi wa chuo kuendesha msako kwenye chumba cha mwanafunzi mmoja ambapo madawa ya kulevya yalipatikana, mwanafunzi huo alifyatulia risasi maafisa wa polisi hao na kupelekea kifo cha polisi huyo.
Mshambuliaji alijaribu kukimbia lakini akashikwa baada ya muda mfupi.
Polisi iliripoti kuwa mshambuliaji anafahamika kwa jina la Hollis Daniels na ana umri wa miaka 19.
Kwa mujibu wa taarifa za chuo hicho, baada ya polisi wa chuo kuendesha msako kwenye chumba cha mwanafunzi mmoja ambapo madawa ya kulevya yalipatikana, mwanafunzi huo alifyatulia risasi maafisa wa polisi hao na kupelekea kifo cha polisi huyo.
Mshambuliaji alijaribu kukimbia lakini akashikwa baada ya muda mfupi.
Polisi iliripoti kuwa mshambuliaji anafahamika kwa jina la Hollis Daniels na ana umri wa miaka 19.
